Most Popular Posts
- AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
- HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
- NAWASHUKURU WOTE MADADA NA MARAFIKI ZANGU WOTE MLIOHUDHURIA KWENYE KITCHENPART YA DADA YANGU ALIYE NILEA TANGU MDOGO NAWASHUKURU SANA.
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
- SO HAPPY....
- SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
- THE AFTERMATH...
- SIPENDI WANAWAKE MNAOWANANGA WAUME WA WENZENU TUONYESHENI WENU JAPO KWA PICHA.
- HONGERA THEA MUNGU AKUJAALIE KWENYE NDOA YAKO.
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY
Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
mwanamke wala mashallah.hicho kitumbo kivalie corset basi
ReplyDeleteNapenda sanaaaaa ur life style Mashallah mmpendeza sanaaaaa
ReplyDeletem starting 2 b obsessed with u guys!
ReplyDeletePendeza mashaallah, hapo wapii jamaniii tujuzeni na cc tujitupeee!!!! Watu wanatamiii lakini ndo hawawezi mpo juuuuuu mamiii
ReplyDeleteDida umependeza sana, mimi ningesuka hizo nywele maranyingi, swaga wewe na mr. ziko on point. hongereni sana.
ReplyDeleteDownload captain america 2 : www.captainamerica2thewintersoldier.com/
ReplyDeletewaoooooo mmemendeza sana wapendanao nice couple
DeleteAISEE YOU NEE TO TAKE CARE OF YOUR HEALTH. NAKUNASIHI KIROHO SAFI. HIVYO VYAKULA UNAVOONESHA NI VERY UNHEALTHY UKITOWA HIYO PROTEN NA SALAD. JARIBU SANA KULA PROTEIN NA FIBER ILI NA WENGINE WAKUIGIZA MY LOVE. HALAFU KUNYWA MAJI BADALA YA HAYO MASODA NA JARIBU KULA FRUITS KAMA KITINDA MLO. SITAPENDA KUKUONA UMEPATA MARADHI KAMA KISUKARI NA PRESSURE MY DEAR.NAJUA KIKWETU SAHANI IKIJAA VYAKULA KAMA HIVYO NI ISHARA YA FURAHA NA KUWA UNA MKWANJA MREFU. LAKINI KUMBUKA KUWA AFYA NI TAJI ALOVIKWA MTU NA HAKUNA ALIONAE ISIPOKUWA MGONJWA.
ReplyDeleteNapenda unaishi vizur Dida tunataman mpaka bongo kma ulaya .mbna ukiwa na pesa mambo ndo kma ayo big up Dida mmeo anatutoa roho nmegumdua anapenda wanaume wazur natania .mwaya
ReplyDeleteMumependeza sana
ReplyDeletewow,always beautiful..dida and hubby...luv u guys
ReplyDeleteAll the best
ReplyDelete