umeona enheeeeeeeee Dida .....naipendaje rangi ya kijani ---rafiki ya mazingira, plus Njano ---madini!!!! hata iweje. kwao hao RED droo ni ushindi mana huko mtaani wakati tunaongoza.. heshma ilitawala kipindi cha pili fujo zikaanza ndipo nikajua kumbe YANGA NI TIMU YA WASTARABU. i am proud to be Dar Young Africans Family. FOREVER YELLOW& GREEN!
mwenzetu we wa wapi? au niulize umeishia la ngapi, kiswahili lugha yetu ya taifa shida, je za wenzetu si utachapia hadi utuue! NI AIBU SIO HAIBU. ' HAIBU ' YAKO WEWE MSHABIKI WA....
sare kwenu ushindi ama? mbona hamueleweki? hakuna wa kupiga kelele, wametoshana nguvu..mwanume kwa vile katoshana nguvu na Yanga? maskini....SARE USHINDI..HONGERENI BASI. OK BYE!
Umeona eeenh!!
ReplyDeleteUmeona enhhhh!!!
ReplyDeleteMlipendeza sana,ao wanaokwambia ucmweke mume wako umo wanataka uwaweke wao au?
ReplyDeleteumeona enheeeeeeeee Dida .....naipendaje rangi ya kijani ---rafiki ya mazingira, plus Njano ---madini!!!! hata iweje. kwao hao RED droo ni ushindi mana huko mtaani wakati tunaongoza.. heshma ilitawala kipindi cha pili fujo zikaanza ndipo nikajua kumbe YANGA NI TIMU YA WASTARABU. i am proud to be Dar Young Africans Family. FOREVER YELLOW& GREEN!
ReplyDeletehahahahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaa haibu yenuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
ReplyDeletemwenzetu we wa wapi? au niulize umeishia la ngapi, kiswahili lugha yetu ya taifa shida, je za wenzetu si utachapia hadi utuue! NI AIBU SIO HAIBU. ' HAIBU ' YAKO WEWE MSHABIKI WA....
Deletesimba wanaumeeeeeeeeeeeeeeeee
ReplyDeletesare kwenu ushindi ama? mbona hamueleweki? hakuna wa kupiga kelele, wametoshana nguvu..mwanume kwa vile katoshana nguvu na Yanga? maskini....SARE USHINDI..HONGERENI BASI. OK BYE!
DeleteYANGA wamechekelea mimba, mtoto akaliwa na SIMBA!
ReplyDeleteYanga
ReplyDeletemmepakatwa aibu! ulikuwa mabao matatu mbele lakini within no time
yakarudi yote! mlifikiri mtarudisha yale matano kirahisi namna hy! lol!
Simba kapakatwa!!
ReplyDeleteyanga imara
ReplyDelete