Most Popular Posts
- AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
- HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
- NAWASHUKURU WOTE MADADA NA MARAFIKI ZANGU WOTE MLIOHUDHURIA KWENYE KITCHENPART YA DADA YANGU ALIYE NILEA TANGU MDOGO NAWASHUKURU SANA.
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
- SO HAPPY....
- SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
- THE AFTERMATH...
- SIPENDI WANAWAKE MNAOWANANGA WAUME WA WENZENU TUONYESHENI WENU JAPO KWA PICHA.
- HONGERA THEA MUNGU AKUJAALIE KWENYE NDOA YAKO.
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY
Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
Pole sana wema pamoja na family yako, mungu awatie nguvu katika kipindi iki kigumu,mwenyez mungu amlaze mahala peponi baba yetu abraham sepetu.Amin
ReplyDeletePole wema wetuu
ReplyDeleteHua nampenda sana Wema no matter people say about her. Pole sana mrembo Wangu . Jamani msiba usikie kwa mwenzio au jirani....maziko link?
ReplyDeletePolee sanaaa wema!! Kila nafs itaonja umauti. Tuko pamoja ktk kipindi hiki kigumu amina!. Pili aogwa
ReplyDeletePole sana Wema Sepetu na familia yote ya Sepetu kwa msiba. Mungu awatie nguvu
ReplyDeletepole xana mamito mungu akupe subira ktk kipindi hiki kigumu kwani najua uchungu wa kuondokewa na baba.
ReplyDeletenakupendaga xana weye.