Most Popular Posts
- AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
- HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
- NAWASHUKURU WOTE MADADA NA MARAFIKI ZANGU WOTE MLIOHUDHURIA KWENYE KITCHENPART YA DADA YANGU ALIYE NILEA TANGU MDOGO NAWASHUKURU SANA.
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
- SO HAPPY....
- SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
- THE AFTERMATH...
- SIPENDI WANAWAKE MNAOWANANGA WAUME WA WENZENU TUONYESHENI WENU JAPO KWA PICHA.
- HONGERA THEA MUNGU AKUJAALIE KWENYE NDOA YAKO.
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY
Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
kazi ndio kila kitu katika maisha saida , maisha ya kudepend upande mmoja yashapitwa na wakati, sasa hivi wanawake tumeamka tunajishughulisha kwa bidii zote mama,zidi kumuomba mungu akupe moyo wa uvumilivu na subira kwa kipindi iki kigumu yote yataisha,mimi nakufeel sana na nyimbo zako unajua kuimba upo juu,nakuombea kila la kheri katika maisha yako.
ReplyDeletedida nakupenda sana ila nakushauri tafadhali usimetishe sana frm up to down haipendez japokuwa ni vyako@ushaur tu usichukie mamii
ReplyDeleteMwambie Saida, hilo ni tatizo dogo sana lakini yeye anataka kulikuza. Ni lazima amsikilize na amtii mumewe, akae atulie katika ndoa yake, huku akimbembeleza bembeleza mumewe kidogo kidogo kila anapota nafasi, yeye ni mwanamke lazima ajue jinsi ya kubembeleza, hasa wanapokuwa faragha, ipo siku atalainika na atamruhusu kuimba japo kwa masharti. Kila ndoa ina mitihani yake, asilazimishe sana kufanya anachotaka yeye, akumbuke kuna radhi ya mume. Mwanamke bila ndoa hata ukiwa bilionea, haujakamilika bado.
ReplyDeletekwani kabla ya kuoana hawakuwekeana mambo wazi?,..
ReplyDeletemi bwana gauni lako tafadhali nambie km lipo dukani kwako niambie
ReplyDeleteBado katoto lakini, kaolewa huyo mie naona kakurupuka alipaswa awe darasan ,.
ReplyDelete