NAMSHUKURU MUNGU BAADA YA KUPATA AJALI NIMEINGIA KAMA KAWA KURUSHA JIWE GIZANI ATAKAYESEMA YALAAA LIMEMPATA.

Wednesday, February 02, 2011 4 Comments

Ni pozi tu nisikuchoshe.
Nikakutana na sister duu mwengi.
Chezeaaaa.
Nikiwa hapa lzm utikise hata kichwa.
Napumua baada ya kazi nzito.
Mzuka ukipanda.
Raha ya taarabu shurti kidole kiwe juu.

4 comments:

  1. Mmmmmmmmmmh, mwenyewe huyo mlipwa US $ 1500/= per month!!! haya weee yetu macho na masikio.

    ReplyDelete
  2. Naomba nikujibu uliezungumza kuhusu magazeti naomba uelewe mimi si msungo nimefundwa na unielewe mnapenda sana kuyaamini magazeti mimi sio limbukeni kiasi hicho niweze kutaja mshahara wangu magazetini narudia tena sio msungo mimi na wengine muelewe sijichukulii poa kiasi icho na siku zote mie kama muuza utumbo siogopi nzi.

    ReplyDelete
  3. somo halikukukolea ndio maana unaachika kila kukicha, rudi ukafundwe upya safari hii wakufunze na kauli

    ReplyDelete
  4. KICHWA KIPI?MAANA WENGINE WANA VIWILI ATI!

    ReplyDelete