Most Popular Posts
-
AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
-
SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
-
HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
-
HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
-
MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI.... KHERI KWA KILA MTU
-
THE AFTERMATH...
-
MY WEDDING DAY....
-
WADAU KWELI MIMI NI MTU MZIMA WALA SI KIPANDE NA SIJAFIKIA UTU UZIMA UOOOO SABABU SICHAMBII PANGA WALA SIPIGI DANADANA KWA MAKALIO,ILA NAPENDA NIWATOE HOFU NYIE MNAOJIFANYA MNANIJUA SANA KULIKO MAMA YANGU MZAZI NI HIVI NAMTAJA LIVE SABABU ANAJUA SIMUHOFII WALA SIMUOGOPI NA SINA SHARI NAE ILA AKIITAKA KWANGU ATAINUNUA KWA BEI RAHISI BILA YA VAT,SINTA NAKUTAJA NA NAJUA HUWEZI CHAMBANA NA MIMI HATA ROBO MAANA NITAKUPA UMAARUFU WA MUDA MCHACHE MAANA HATA WA KUTATIZA KATIKATI YA MSAFARA WA RAISI UTACHUKUA MUDA,NYIE MNAOSEMA NAMUOGOPA SINTA ANALIJUA ILO KUWA SIMUOGOPI HATA KIDOGO NA NIKITAKA KUCHAMBANA NAE SI HUMU NAMTAFUTA KWA GHARAMA ZANGU TUCHAMBANE FACE TO FACE KWA HIYO SINTA FANYA YAKO ANDIKA YAKO UMO KWENYE BLOG YAKO KWELI MIMI MTOTO WA KISWAHILI SINA UZUNGU HATA ROBO ILA UKINICHOKONOA UTAJUA KAMA MIMI MZUNGU AU MZARAMU NYIE WAZUNGU ENDELEENI NA UZUNGU WENU KWANGU NDIO KWANZA MKOKO UMEALIKA MAUA,KUMBUKENI MATUSI YENU HAYANITOI KOPE NDIO KWANZA ZIMENISIMAMA KAMA KIBANDA CHA SIMU.
-
HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
-
SO HAPPY....
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY

Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
mi nawapendeni ila nawashauri kitu kimoja tu kwa vizuti dada zangu.dida na sauda make up zenu mnazopaka si kwa ajili ya ngozi zenu ni kwa ajili ya wazungu kwa hakika mkizipaka mnaonekana vichekesho badilisheni rangi za make up bila kumsahau slma masangi.
ReplyDeletehizo mzitupe jamanikwenye picha mnaonekana vibaya sana .munisamehe kama nimewakwaza
tausi
hongera sauda umetoka bomba kinomi,kivaz chako na hicho kiatu mh,mi chichemi
ReplyDeleteSqualid blog!
ReplyDeleteMrudieni muumba wenu,siku za mwisho zaja.
ReplyDeleteKweli biashara matangazo! Hasa ikikudodea!
ReplyDeletehizo picha zenu zinaniumiza macho mmekuwa weupe kama karatasi
ReplyDeletehi, naomba kuungana na mdau wa kwanza kabisa kuhusu make up, for sure hizo make up haziendani na ngozi zenu ingekua busara kama mngefanya mpango mbadilishe zinawafanya muonekane kama vinyago flani hivi
ReplyDeletesio kwa ubaya ila Rungi make up MHmmmmmmmm,jamani mimi nimejifunza kitu kimoja siku hizi kana watalamu wa make up na wanakushauri kulingana na rangi yako,then unakuwa unajua kabisa ni make up gani upake na kwa kiasi gani.ni hayo tu. tena wewe Dida unasafiri mno siku nyingine ukisha kusanya mzigo pita kwa wataalamu wakupe nondozi na ukirudi uwasaidie mashoga zako
ReplyDeletena huyo sauda mtoto mfupi kama ndizi kisukari na amekomaa vibaya mno ona hivyo viguu vifupi kama vya bata alafu anavaa nguo fupi aoni aibi tazameni nguo za kuvaa na maumbo yenu, mnakuwa vechekesho
ReplyDeletehvo viguu,m chichemi ,kama vijiti.na mngepata miguu sijui ingekuwa vp
ReplyDeleteH'day sauda. Nguo imekukaa haswa ila ngozi ka michael Jackson, ptuuuuuuuuuuuu!
ReplyDeleteanaewasifia HAWAPENDI yaani hizo make up sio rangi zenu hivi hamjioni, VINYAGO VIMESINGIZIWA poleni maana mnatisha kama VINYAGO
ReplyDeletesamahani Naomba kuuliza
ReplyDeletehuyo rungi ni MTEJA????
teh teh teh semeni nyie wadau mliotangulia khs make ups jamani kama vinyago? na huyo sauda ngozi we muache kama kambiwa weupe ndio urembo basi yatamkuta,kujichubua gani huko? punguza mwanamke mzuri haijalishi ni mweupe ama mweusi .lkn mmh tuseme ukweli ukiwa painted black tutakimbizana mjini mana tutaona kama tumekutana na shetani. lol mbadilike wanawake
ReplyDeletemh shoga mai kwani mwenzetu uliolewa p diddy mbona eda za wenzio unazivalia njuga, tena hurusiwi kutoka nje, haya we mwenzetu vipi. vua upate mume binti
ReplyDeletemmependeza
ReplyDeletekaziii kweliii kweliii...HIIII YOTE MIFUSKAA TU,CHEKII INAVYOO KAA UCHII,HAPO AKUNAA DEMU WA KUOWAA ILA MIDUNGAA YEMBE.MICHARUKO YA JIJII
ReplyDeleteSauda umevaa LICHUPI LIBAYAAAAAAAAAAA
ReplyDeletesauda umependeza sana tu,na miguu yako sawa na mwili wako,watu mara vijiti mara nn nani kakwambieni miguu ya tembo ndo uzuri?tatizo lenu mmeganda bongo amtoki nj ya bongo,mnamaindi unene poleni sana mponyuma hasaa mnaohusudu unene,na matako makubwa kufuga uchafu tu,na we unaemponda mai kwani kukaa uchi ndo kupata mume?
ReplyDeleteHAHAH NIMECHEKA KWELI ALIESEMA BIASHARA MATANGAZO.
ReplyDeleteSAUDA HONGERA, KIATU KIKO MWAAA, ILA BIDADA TOKA UNAANZA ANZA STAR TV MPAKA LEO, CHANGE IN COLOUR............UMEKUA MWARABU. HAYA BIBI UKIWA NA MIAKA AROBAINI SIJUI UTAKUA NA RANGI GANI
HUYO NAE MWENYE MIPAJA MIKUBWA, NGUO FUPI HAIKUPENDEZI. MIPAJA YENYEWE INAMATUTA. AU ILIKUA MAPAJA SHOW AU HALOWEEN. MMH JAMANI WAKO WALIOPENDEZA ILA WENGINE JISITIRINI WANAWAKE
sauda umezidi kujichubua bwana, aaah hivi iliekujua 10 years ago atakutambua kweli. kujichubua ushamba. mwanamke uzuri wa ngozi iwe nyororo sio rangi eeh
ReplyDeleteILA SAUDA AMEKAA KISHAMBASHAMBA JAMANI. NAMKUMBUKA KWENYE ULE WIMBO WA BONGO FLAVA, SIJUI UNAITWAJE. SI BURE ANAJICHUBUA. USHAMBA TU, WAKUJA KWELI KWELI, SIMFAHAMU ILA MI MTU ANAEJICHUBUA ANANIBOA JAMANI. HIVI HUONI VIDOLE VINAVOKUSUTA, VINA SUGU NYUESIIIII KAMA MTU UMEPAKA HINA
ReplyDeletesauda mfupi kama kijuzuu
ReplyDeleteDu! SAUDA AAAA! UNASURA YA JINI HIVIII HIVIIIIIIII
ReplyDeletekweli shughuli watu na watu wenyewe ndo hao. yaani waalikwa wote wana character za kufanana sijaona hata wa afadhali hapo. Kazi kujichubua tuuuuuuuuuu na kukaa uchi. na huyo sauda sijui nani alimfundisha na limdomo lake lipana sijui hata huyo B/F wake huwa hamuoni amwambie jamani maana inatisha
ReplyDeletekwa mtazamo hapo haraka haraka, wengi hapo hawana rangi asilia
ReplyDeletemnajiona mnapendeza leo, ila huko mbeleni majuto.
mkorogo ulimshinda michael jackson na hela yake sembuse nyie?
hamvutii jamani
mtaishia anika tu vitu dukani, bila wanunuzi , sana sana watakuja fanya test drive
jipendeni darlings
point two, huko kujianika pia inategemea na mwili
kama bidada hapo na mipaja yake,haivutii
ungeweka kitu cha suruali ,nadhani ungetusitiri aibu wanawake wenzio
pia Dida, ni bora uzithaminishe picha kwanza kabla ya kuziweka humu mfano hiyo picha ya tano hapo!
point 3..make up jamani,watu ndio mkajimwagia kikopo kizima tena sio cha rangi zenu, plus hapo kuna mtu ana wanja kama jini(ingawa sijawahi onana na jini..lakini nadhani ndivyo yatakuwa yanafanana)
sauda nguo nzuri,ila haiendani nawe kwa point hii,mabegA na mwili wako unatakiwa vaa kitu cha kuku-elongate sio cha kukusindika kama kifusi.
samahani kwa kuwakwaza, ila inabidi
Hizi foundation mnapaka mnaziona zimekaa vizurii kwenye kioo ila mnasahau flash za kamera hua zinafichua tofauti. Naungana na waliosema mchague colour zinazoendana na rangi zenu. Mwanamke kua natural inapendeza. Acheni kuiga. Na huo ukaaji weno wa uchi cio kila mwanamke anapendeza na nguo fupi jiangalieni. Ful figured gals maumbo yenu hupnekana vizuri mkijisitiri mapaja yanatisha jamani. KINYAA KITUPU.Sauda jitaidi kujiweka natura umekua MBAYAAAAAAAAAAAAAAAAAA
ReplyDeleteMake ups jamani tupate washairi kama hatuwezi kujishauri,laa yaani mmekuwa kama vinyago.
ReplyDeleteila jamani sauda anapenda nguo ila tatizo nguo hazimpendi jamani ht avaaje hapendezi ng'o sijui tatizo ni nn.
ReplyDeletevikaragosi wakutupwa
ReplyDeletebora waliooa maana
ukitafuta mke sasa utaishia kukutana na vinyago...............
pumbavu
mi nikimuona sauda katika kile kipindi chake huwa nachange channel kabisaaaa yani kwa kweli angeomba kipindi cha redio lakini tv big NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO asionekane havutiii,
ReplyDeleteguys let people waishi maisha yao mwaego you luk gud especially dida i love you dear
ReplyDeletemmejiachia sana mko uchi siamini kama mmeolewa na kama mnawaume basi wanaume hao wanamatatizo na ndio maana Dida huwa unaachika kila wakati
ReplyDeleteSauda umekuwa mkubwa sana kuwa mwarabu sio uzuri wewe, angalieni dada mmoja maziwa nje kweli hiyo au huo Umarekani unawasumbua?
ReplyDeleteNinyi nyote mnaoponda hamna busara, kwa sababu inatakiwa ashauriwe na siyo ki-hivyo mnayofanya na pia mtambue kuwa tunajifunza kutokana na makosa. Nawe Sauda fanyia kazi ushauri unaokufaa usiokufaa achana nao. Tumia akili yako.
ReplyDeleteacheni kujichubua mpo kama vinyago,hivi nani kawambia mnapendeza?mnatia kinyaa.
ReplyDelete