HAYA HAYA WALE WACHOMWAOOOOO JIFUTENI.
Nashukuru ujumbe umefika mtamaliza maneno yote nyie kwangu karatasi mkilowa hamna maaana nilijua kwa ilo neno zito msiopenda kuwaona watu yanawendea mta coment,sikubanii hata kwa lolote sema ulichoijaaliwa hunistui, nawapenda wale wenye kujua maana kwangu mjinga mjinga nampotezea msg delivery na cha mwisho ulishawahi kuona wapi maji ya vifuko ya kauzwa hotelini mtajibeba na animulikae kwa tochi namvizia kwa manati inaumiza hiyoooo visokorokwinyo mtajijjjjjjjj na wanaonipenda nipo transit wajameni ngoja niwawekee swagga zangu kidogo nyingine nikirudi haya mashokomzoba msisahau kucoment nawatamani.ohhh dida mswahili blogu hii umesikia ya mzungu soma ukimaliza delete.
.png)





TUTAJIE NCHI ULIOPO MBONA UNAFICHAAAAAA
ReplyDeleteHahahahahaaaaaa kweli we kiboko, weraweraaaaaaaaa wapewape vidonge vyao wachague kumeza au kutema.....
ReplyDeletelazima atakuwa na sababu na za kuficha...hebu tuanikie wadau wako basiiii
ReplyDeleteHahahahhaa..jamani maneno hayo, yameniburudisha sana..mimi huwa niangia hii blog kwa sababu naburudishwa na swagga zako..keep it up dida.!!
ReplyDeleteHehehehe dida nahitaji tution ya maneno mwenzio itabidi tuonane, hii visokorokwinyo ndo vidudu gani jamani?
ReplyDeleteML
H Dida I love you ma dear napenda sana maneno yako huwanafurahi sana nikisoma kwenye blog yako ila mbona huwa hupost mara kwa mara?sijawahi kukusikia kwenye radio couse huwa nipo kazini but now i wish niwenakusikiliza kwenye simu yangu maana watu huwa wananiita Dida wa mchops nilikua nakasirika sana nilikua sijui wanamaanisha nini couse nilikua sikujui then now i feel your so cool napenda unavyoishi japo sikujui vizuri but i like you
ReplyDeleteDidah
ISIJE IKAWA UKO ARUSHA UNATAKA KUJIPAISHA HUNA JIPYA WEWE
ReplyDeletenakweli Dida! wamezidi hao kazi kusema yawatu tu! tumeshawazoea na ndiyo maana tumeamua kuwapotezea, tunafanya mambo ya maendeleo sie! twa songa mbele haturudi nyuma kamwe, mtabaki hivyo hivyo mnasema yawatu tu! na muwasemao mkae mkijua mambo yao yanawanyookea nasiyo mnavyo dhania! mtajibeba mwaka huu! mtuache jamani mwaka huu wetu sie tunao bahatika! kwani bahati ya mtu usiilalie mlango wazi! mtoa riziki ni mola tu, akiandika ameandika mwanadamu hawezi zuia. mtajibeba mwaka huu! wera wera mwanaaaa! Dida wapewape jamani wamezidi haooooooo! twaringia bahati sie haturingii uzuri mpohapo nyie msio kuwa nadogo!
ReplyDeleteHIVI UKO NCHI GANI WEWE? MBONA HUELEWEKI DIDA! HALAFU HII BLOG YAKO MBONA HAINA MAMBO YA MAANA NI KIJISIFIA TU MARA MCHOMWAO SIJUI NINI? EBU TUWEKEE MAMBO YANAYOJENGA BWANA TUJIKOMBOE ACHA MABO YA VIJEMBE YA NINI KAMA WATU WANAKUCHUKIA ACHANA NAO FANYA VITU VYA MAANA.
ReplyDeleteMh! dada una maneno mm mbavu cna mwenzio du hv unayatoaga wapi? barikiwa shost
ReplyDeleteme najua upo HOLAND,,,Uongo???ila wee dida me nakukubali kinoma achana nao wajinga wajinga wasiojua kutafuta vya kwao wanapenda wapewe na wanaume.....nakukumbuka toka enzi za DSJ na FADHILA...watumie wimbo mpya wa leila ndo watajua ...si kama siwezi kusema naweza mpaka kukesha....wajinga wajinga WAPOTEZEEEE....karibu tanga mama
ReplyDeleteni kweli blog sio ya mzungu watakomaje
ReplyDeleteWEE NAE UNAVYOPENDA MASHAUZI HAKUNA HATA ANAYEKUFATILIA NA HIVYO ULIVYO MFUPI KAMA KIMBA LA ASUBUHI NA SURA NZITO LOHH......HATA BADO HATUJAKUPA UMAARUFU KWA NJIA HIYO JARIBU NYINGINE LABDA WEE MASKINI TU HUNA LOLOTEEEEE
ReplyDeleteShosti weka hata nukta na mikato basi, manake ukianza kusoma ni prrrrrr mpaka maka!
ReplyDeletehuna lolote dida kwanza mbayaaa,na hiyo sura ilivyochakachuliwa na mkorogo pwaaaa!! unatisha,utadhani taahira wa kichina, haahahahaaa, kifupiii unatisha,wala hupendezi miguu utadhani kuni ya nyongeza looh, ujiangalie ndio uvae vmini na vkaptura.
ReplyDeleteMbwaaaaaaaaaaaaa
ReplyDeletemh jamani we dada punguza hayo maneno ya ukali kama vipi we potezea tu hakuna mzungu ila jaribu basi kidogo kubehave kama nchi ulizotembele\a hayo ni maisha ytako hayamuhusu mtu yoyoyte kama mbaya kama mzuri we achana nao mungunsi ndo amekuumba kingine jiamnini wewe ni mwanamke wa maana tu na nyie wadau acheni kuandika upuuzi humu sio pa kucchambana loh nasikitika sanaaa
ReplyDeletemwambie yeye aache kuandika upuuz wengine hawataandika.mwanamke wa maana na akili hafanyi upumbavu huu.n zama zile hayo mambo siku hz ukifanya hv kwa wasataarabu wanakutoa thaman,igen mfano wa nancy sumari jaman,she is beauty,classy and decent
ReplyDelete