KUMBUKENI MCHEZA KWAO HUTUNZWA
Mtanzania kumbuka uswahili ndio jadi yako ukitaka kujifanya mzungu utajuta, usidanganyike na uvimbe wa andazi ndani liwazi.hapa mambo yote kina bi kidude kama wewe mzungu bofya sehemu nyingine haya ni maneno tu hata kwenye keki yamo mpoooooo.
.png)





umeona eeeh!!!sasa cjui wanajiashua nn?
ReplyDeleteni kweli na keki huwa inandikwa kwii wiiii
ReplyDeletewaende kwenye blog za maendeleo zipo nyingi tu kama unataka kujua tbl wana bosi mpya hukooo sijui vodacom wanafungua kisima hukohuko huku ni rusha roho plz
ReplyDeleteweweeeeee dida umenichekesha mpaka naonekana ofini labda naanza kuwa chizi watajuuuuta uko juuu sana pam
ReplyDeleteatakaeona kabanwa atabofya sehemu nyingine umeuaaa dida mtoto unanifurahisa sana
ReplyDeleteThe most entertaining blog ever! Uwii nacheka naraha zangu kila siku ndio itakua kijiwe sasa. Ha ha ha !!!
ReplyDeletemhh kuanza na kuanza mipasho tu balaaaaaa!
ReplyDelete