JAHAZI kutoka na album ya 6 Julai 30, PTA

Jahazi Morden Taarab wanatarajia kuzindua albamu yao ya sita ya My Valentine Julai 30, mwaka huu katika Ukumbi wa PTA, DSM
Mkurugenzi wa kundi hilo Mzee Yusuph amesema albamu hiyo ina nyimbo sita na katika uzinduzi huo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa mwimbaji mkongwe wa taarabu nchini, Kidude Baraka aka 'Bi Kidude' na kundi la burudani la Baikoko kutoka Tanga.
Mzee amesema pia watatambulisha wimbo mpya wa Khadija Yusuph, aliyeuimba baada ya kurudi kwenye kundi hilo wa Nilijua mtasema ikiwa ni pamoja na wimbo wa Wagombanao ndiyo wapatanao.
Nyimbo zilizopo katika albamu hiyo ni My Valentine, Langu rohoni, Wema hazina kwa Mungu, Mfamaji, Jaala haikimbiliki na Asilimia 100.
Albamu za kundi zilizotangulia ni VIP, Daktari wa mapenzi, Two in One, Tunakula kwa nakshi na Undugu hazina yetu
hongera nduguyangu nime enjoy kutembelea blog yako karibusana wadau tupo
ReplyDeleteAmina Zangira
This comment has been removed by the author.
ReplyDeletejahaz wako juu sana
ReplyDeletehi dida, so cute ,so lovely
ReplyDeleteby the way naienjoy sana kipindi chenu cha mimitkicko ya pwani
namo ni mdau kwa sana tuuuuuuuuuuuuuu!
keep it up baby
stay blessed.
unajitahidi dida lakini punguza kuonyesha sebule yako jitahidi kuweka vitu vingine vinavyoendelea katika jamii husika
ReplyDelete