FLORA MBASHA AKOMBA KILA KITU MUMEWE ARUDI HOME PATUPU KAZI KWELI KWELI.....

Thursday, June 26, 2014 6 Comments


 Bora kamuachia hata zuria atalalia walah mapenzi yakiisha haina baby wala swetee wala hubby.....

6 comments:

  1. Sasa uyu mbakaji maharufu awakumuachia hata kitanda duh pole kaka uwepo wa shetani upo pamoja na wewe kemea ktk jina la yesu utashinda ayo ndo majaribu yako hauna budi ukabiliane nayo

    ReplyDelete
  2. Ila na wewe frola kuwa na huruma basi mwenyewe umechepuka kwa babs mchunga kanisa sasa inauma nini msameheane to yalopita yamepita mgange yajayo ila mwezio kazidi kuchepuka mchepuko mkubwa mana si wa kitoto ndugu yako wa damu aaa apo bhana nguvu ya mungu ifanyike mana mhmh inauma sana pia ni haibu isio futika kwa family poleni sana walengwa

    ReplyDelete
  3. Hubby akiwa kifuani, ukigeuza kisogo adui.
    Aisee

    ReplyDelete
  4. Ana wazimu kaamua kuhamia rasmi kwa Gwajima wake, tamaa imemzidi huyo dada ndio maana mimi malokole haya siyapendagi kabisa uongo tu

    ReplyDelete
  5. NAYE ALIJICHETUA HUYU . AKATANGAZA MAGAZETINI MPAKA ULAYA TUMEYAONA .LEO ANAANDIKA AMEMSAMEHE SASA SIWAYAMALIZA NYUMBANI.
    WANAWAKE TUWE TUNATAAKARI TUKIWA NA MATATIZO SIO KIKIMBILIA KUHADHITHIAHUKU MIHOGO TUNAITAKA
    SIJUI HAKUWA NA SOMO AU KUNGWI WA BANDIA HUYU DADA,.

    ReplyDelete
  6. Ya flora mbasha yamekurudia na wewe naona

    ReplyDelete