Most Popular Posts
- AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
- HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
- NAWASHUKURU WOTE MADADA NA MARAFIKI ZANGU WOTE MLIOHUDHURIA KWENYE KITCHENPART YA DADA YANGU ALIYE NILEA TANGU MDOGO NAWASHUKURU SANA.
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
- SO HAPPY....
- SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
- THE AFTERMATH...
- SIPENDI WANAWAKE MNAOWANANGA WAUME WA WENZENU TUONYESHENI WENU JAPO KWA PICHA.
- HONGERA THEA MUNGU AKUJAALIE KWENYE NDOA YAKO.
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY
Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
kweli kabisa wawaache walaleeeee
ReplyDeleteFungeni ndoa
ReplyDeleteDida please achana na hizi drama za akina Daimond, tuonyeshe picha zako na mumeo basi coz watu wenyewe hawaeleweki utaumbuka mambo yakigeuka na Daimond mwenyewe haeleweki.
ReplyDeletemmmh dida embo angalia picha hspo kuna mapnz jaman domo hana raha kabisa anakaximishwa angdlia picha za wema na domo alf linganisha jipe jibu mwenyewe penny kavunja urafiki kisa domo ngoja domo amwache cjui ata weka wapi sura mmh kweli penny anateseka na penz ladomo maana alitoka paka uwoya kavumilia bora wema almbwaga domo mchafu sana
ReplyDeleteinshallah tunawaombea waweze funga ndoa,ilo ndio jambo la kheri tunalolitaka
ReplyDeletemakubwa! dida naomba uwasifie siku ukisikia shehe anachoma ubani, sio huko kuzini! japo wengi wetu tunazini, ila hakuna anayeshadadia uzinifu wetu, kuwa makini kwa allah atakuadhibu, mwache ajitwike fulushi lake mwenyewe, sipo upande wowote, siku zote moyo wa mtu ni msitu! kwa hiyo angekuwa anampenda sana angemuoa kabisa kwa sababu hakuna mwenye kizuizi chochote, mfano mnzuri kwa SHETA! kaoa bado mdogo, yule ndo wakumwagia sifa hizo!
ReplyDeletekwanza wamekutana wote waswahili wakiona watamatch.
ReplyDeleteHicho kilemba cha Penny kama bibi tarabushi.
ReplyDeleteYAKOWAPI SASA ATABAKI STORY TU .DIDA MSIJIAMINISHE KUAMDIKA MAPENZI YA WATU KAA NYIE NDO MLOYAPANGA .MIE BWANA WA KUPITA NA HATA AWE MUME SIJISHAUWI . LEO ANALIA NA YASIMINI NA MITO KITANDANI
ReplyDeleteUMEKOMESWAJWAE PENI MFJUUUU