WANAUME TYPE HII NIJAKAMOYO WALAHIIIIIIIIIIIIIII.

Tuesday, December 18, 2012 1 Comments

Bora mlioamua kuolewa na Mababuuuuuuu,Tusubiri kukaa Eda,Lkn hii sampuli ni sawa na kuitundika roho yako juu ya feni,Wazuri wa sura ila MTIHANI Bora uwe na Mwanaume hana hata Meno ya mbele kuna watu wanalia juu yao,Acha tujikaze tu wenzanguu,Kuna watu wanadiliki Kuwahonga tu ilimradi wawe nao wanageuzwa mama zao kama wamekuja shule na sisi ndio walimu waooooo,Mapenzi ni kupendana nyote wawili usikae na mtu kisa ana mvuto au mzuri sana Nasema hivi ukijiona wewe Mzuri UZURI KWA WAZAZI WAKO,Hapa kwangu mahaba zaidi na sio kuuziana sura tukienda hivi mjini tutaheshimiana Ila kwa wale wapenda JAKAMOYO MZIGO HUOOOOOOOO.

1 comment:

  1. Hilo nalo neno mwenzangu!!! Ukiolewa na mwanaume kama huyo(ng'alu ng'alu),basi ujijue kwamba mpo 7 au 8......roho mkononi shost!

    ReplyDelete