HUYU NDIO MALKIA WA MIPASHO TANZANIA,UJIPANGE UPYA KUMPOTEZA ANA NDOA ZAKE NNE BILA WASI,SEMBUSE WEWE USIYE HATA NA MOJA UNAROPOKA KAMA UMEKAMATWA UGONIIII PUMU BIBIEEEEEEEE.

Thursday, December 20, 2012 0 Comments

 Namkubali sbb anajiamini na atishwi na lolote ukimzingua anaongea chungu kingine hata akiwa na vyungu nane hajali lolote sababu hajazaliwa nao pole yenu mnaomaliza mate kwa maneno yenu sbb mkiachwa hamna pa kwenda ulimfanya babako utajichujaaaaaaaaa,Na mtaendelea kusugua kisigino kama TWANGA PEPETA.
Jiachie bibi hao wenye vikwapa kama vishimo vya mdako wasikushughulishe,Jipya hawana yao yote ya zamaniiiiiiii,sasa hivi mambo ya DIGITAL.

0 comments: