RAHA JIPE MWENYEWEEEE WALA UULIZWI VAT WALA KODI.

Sunday, November 18, 2012 1 Comments

Tunapokutana wafanyabiashara hapaharibiki kitu sababu tunaongea maisha zaidi kuliko majungu.Maisha yangu hayana nafasi na mtu mnafiki asiyewaza maisha yeye kila wakati anawaza kumuharibia mwenzie maisha na masengenyo yasyo na kichwa wala miguu na daima hawaendeleiii uwa sipendi sana kusifiwa napenda zaidi kusengenywa sababu wananifungulia njia watajimun"gunya mwaka huuuuu.

1 comment:

  1. Safi sana raha jipe mwenyewe wataisoma number, Dida huyu dada kama sijakosea namfahamu anaitwa Foibe tulisoma nae Ubungo NHC, mpe hi sana sijamuona siku nyingi tangu tulivyomaliza darasa la saba.

    Rehema

    ReplyDelete