MAJOHO SI LAZIMA MVAE WANACHUO BABU,HATA SAMIRA KALIVAA HAPANA CHEZEAAAAA.

Monday, August 13, 2012 0 Comments

 Akiwa na wanafunzi wenzie baada ya kuhitimu kindergarten shurti na vyeti vyao na mashostito,Hapana chezea elimu kabisa umekuwa mwanangu sasa mungu akujalieeee ufike mpaka chuo kikuu ishallah.
Full mapozi mtoto wa ST COLUMBUS kila lakheriiii mtoto wa mimi.

0 comments: