UKIGUSWA PIGA KIMYA,PITA KAMA HUJAONA........
HEHEYAAAAAAA HAYA HAYA SASA KWA WALE WALIOKUJA MJINI NA MITUMBA SASA WAMEINGIA MJINI WANAJUA KWENDA BOUTIQUE,USTAA WAMEUBEBA KICHWANI NA KUDHARAU WATU MJINI IMEKULA KWENU KILA MTU NA MAISHA YAKE ASUJUDIWI MTU MJINI ZAIDI YA ANAYENIPA PUMZI,NA KUNIFANYA NAPUMUA BILA USHURU,NA KUJIONA WA MAANA HATA SHOMBO ZA MAZIWA HAZIJAKUTOKA MJINI UNAJIONA WA MAANA IMEKULA KWAKO,MAANA KWANGU NAKUONA HUFAI KWA KUUZWA WALA KUWEKWA BONDI UJE TARATIBU MAANA KAMA UMEKUJA NA JEMBE HAPA MJINI UTALIMA LAMIIIIIII.
WENYE CHUKI BYE BYE.
ATAKAYEJISHUKU INAHUUUUUUU.
Nimekukubali!!!
ReplyDeleteWera wera wera, wakiweza wameze hivyo vidonge
ReplyDeleteDaaaa mswazi kweli dada yani hupendeeezi hata kidogo! punguza kidogo
ReplyDeleteinamhusu jlo bongo,amelijua jiji kwa lazima
ReplyDeleteManeno matamu hayo wapeeeeee
ReplyDeleteManeno mazima hayo! wape wape washamba wa mjini, wanaotafuta umaarufu kupitia migongo ya watu
ReplyDelete